| Hamza Msangi akiwaelezea wanafunzi jinsi ya kuotesha mimea kwa njia ya chupa |
| Veronica Kibambi akiwaonesha wakulima jinsi ya kutumia kifaa maalumu kwa ajili ya kukunia nazi. |
| Banda la Utafiti na maendeleo kanda ya mashariki |
| Joyce challe akimueleza mkulima jinsi ya kutumia mafuta ya mwali yatokanayo na zao la nazi |
| Happiness Gabriel akimuonesha mkulima jinsi ya kuotesha mimea kwa kutumia chupa. |
| Dr. Christopher Materu akimuonesha mkulima mtego kwa ajili ya kutega nzi wavamizi wa matunda. |
Nahitaji sana huo mtego wa nzi shambani. Napataje?
ReplyDelete